1908
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | ►
◄◄ | ◄ | 1904 | 1905 | 1906 | 1907 | 1908 | 1909 | 1910 | 1911 | 1912 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1908 BK (Baada ya Kristo).
[hariri] Matukio
[hariri] Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 1908 MCMVIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5668 – 5669 |
Kalenda ya Ethiopia | 1900 – 1901 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1357 ԹՎ ՌՅԾԷ |
Kalenda ya Kiislamu | 1326 – 1327 |
Kalenda ya Kiajemi | 1286 – 1287 |
Kalenda ya Kihindu | |
- Vikram Samvat | 1963 – 1964 |
- Shaka Samvat | 1830 – 1831 |
- Kali Yuga | 5009 – 5010 |
Kalenda ya Kichina | 4604 – 4605 丁未 – 戊申 |
- 22 Januari - Lev Landau (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1962)
- 4 Aprili - Frances Ford Seymour, mke wa pili wa Henry Fonda
- 23 Mei - John Bardeen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia miaka ya 1956 na 1972)
- 25 Mei – Theodore Roethke (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1954)
- 30 Mei - Hannes Alfven (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1970)
- 27 Agosti - Lyndon B. Johnson, Rais wa Marekani (1963-69)
- 31 Agosti - William Saroyan (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1940, aliyoikataa)
- 23 Oktoba - Ilya Frank (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1958)
- 13 Novemba – Comer Vann Woodward (mwanahistoria wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1982)
- 4 Desemba - Alfred Hershey, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1969
- 17 Desemba - Willard Libby (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1960)
[hariri] Waliofariki
- 24 Juni - Grover Cleveland, Rais wa Marekani (1885-1889; 1893-1897)
- 22 Julai - Randal Cremer (kiongozi Mwingereza wa chama cha wafanyakazi, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1903)
- 25 Agosti - Antoine Henri Becquerel (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1903)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: