Peru
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
|
|||||
Wito la taifa: "Firme y Feliz Por La Unión" (Imara na furahifu kwa umoja) | |||||
Wimbo wa taifa: Somos libres, seámoslo siempre "Tuko huru tukae hivyo" |
|||||
![]() |
|||||
Mji mkuu | Lima |
||||
Mji mkubwa nchini | Lima | ||||
Lugha rasmi | Kihispania Kiquechua 1 | ||||
Serikali | Jamhuri Alan García Pérez Jorge del Castillo |
||||
Uhuru ilitangazwa |
28 Julai 1821 |
||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
1,285,216 km² (ya 20) 8.80% |
||||
Idadi ya watu - Julai 2005 kadirio - 2005 sensa - Msongamano wa watu |
27,968,000 (ya 41) 27,219,266 22/km² (ya 183) |
||||
Fedha | Nuevo Sol (PEN ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC-5) (UTC) |
||||
Intaneti TLD | .pe | ||||
Kodi ya simu | +51 |
||||
Alama ya kimataifa ya magari | {{{vehicle_code}}} |
||||
1.) Kiquechua, Kiaymara na lugha za eneo ni lugha rasmi kama ni lugha ya watu wengi wa eneo. |
Peru ni nchi ya Amerika Kusini upande wa magharibi ya bara. Imepakana na Ekuador, Kolombia, Brazil, Bolivia na Chile. Kuna mwambao wa Pasifiki.
Peru ilikuwa koloni ya Hispania kati ya 1532 hadi 1821. Kabla ya kuja kwa Wahispania ilikuwa kitovu cha Dola la Inka. Hadi leo kuna idadi kubwa ya Waindio wanaotunza lugha na utamaduni wao.
[hariri] Viungo vya nje
- (Kihispania) Serikali ya Peru tovuti rasmi
Nchi na maeneo ya Amerika Kusini |
Argentina | Bolivia | Brazil | Chile | Ekuador | Guyana | Guyana ya Kifaransa | Kolombia | Paraguay | Peru | Surinam | Uruguay | Venezuela |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika Kusini bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Peru kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |