2005
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 2001 | 2002 | 2003 | 2004 | 2005 | 2006 | 2007 | 2008 | 2009 | ► | ►►
Jan. | Feb. | Mac. | Apr. | Mei | Jun. | Jul. | Ago. | Sep. | Okt. | Nov. | Des.
Makala hii inahusu mwaka 2005 BK (Baada ya Kristo).
[hariri] Matukio
- 30 Desemba - Edward Ngoyayi Lowasa amechaguliwa kuwa waziri mkuu wa Tanzania.
[hariri] Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2005 MMV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5765 – 5766 |
Kalenda ya Ethiopia | 1997 – 1998 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1454 ԹՎ ՌՆԾԴ |
Kalenda ya Kiislamu | 1426 – 1427 |
Kalenda ya Kiajemi | 1383 – 1384 |
Kalenda ya Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2060 – 2061 |
- Shaka Samvat | 1927 – 1928 |
- Kali Yuga | 5106 – 5107 |
Kalenda ya Kichina | 4701 – 4702 甲申 – 乙酉 |
[hariri] Waliofariki
- 6 Machi - Hans Bethe (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1967)
- 5 Aprili - Saul Bellow (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1976)
- 27 Juni - George Lilanga, msanii Mmakonde kutoka Tanzania
- 6 Julai - Claude Simon (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1985)
- 16 Agosti - Frere Roger (Roger Schutz) aliuawa kanisani na mwanamke aliyeharibika kiakili.
- 24 Oktoba - Rosa Parks, mwanaharakati dhidi ya ubaguzi wa rangi
- 28 Oktoba - Richard Smalley (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1996)
- 16 Novemba - Henry Taube, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1983
Wikimedia Commons ina media kuhusu: